forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
881 B
Markdown
33 lines
881 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 5 unatoa taarifa ya nyuma kuhusu idadi kubwa ya wayahudi ambao walikuwa wanaishi Yerusalemu, wengi wao walikuwapo wakati wa tukio hili.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "wao" linajumuisha waumini na neno "yake" linataja kila mtu katika kundi.
|
||
|
|
||
|
# watu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
watu waliotaka kuheshimu na au kumwabudu Mungu
|
||
|
|
||
|
# kila taifa chini ya mbingu
|
||
|
|
||
|
"kila taifa duniani" Watu kutoka mataifa mbalimbali walikuwa wamekuja Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Wakati sauti hii iliposikika
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea sauti ambayo ilikuwa kama upepo wa nguvu kuwa: "Waliposikia sauti hii"
|
||
|
|
||
|
# Mkusanyiko
|
||
|
|
||
|
"kundi kubwa la watu"
|
||
|
|
||
|
# Walishangaa kwa mshangao mkuu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana moha. Mshangao wao ulikuwa mkuu sana.
|
||
|
|
||
|
# Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
|
||
|
|
||
|
Watu waliuliza swali wakionyesha mshangao wao kuwa hawa ni wa eneo moja na lugha yao ni moja iweje waongee na lugha za mataifa yetu?
|
||
|
|