forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
721 B
Markdown
33 lines
721 B
Markdown
|
# Kwa sababu hii
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu mimi ni nabii"
|
||
|
|
||
|
# Nateseka pia
|
||
|
|
||
|
Paulo anaelezea namna alivyo mfungwa.
|
||
|
|
||
|
# Nina hakika
|
||
|
|
||
|
"Nina shawishika"
|
||
|
|
||
|
# Siku ile
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa na maana ya 1) Siku ambayo Bwana atakuja tena au 2) siku ambayo Mungu atawahukumu watu.
|
||
|
|
||
|
# Utunze mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu
|
||
|
|
||
|
"Endelea kufundisha mawazo ya kweli niliyokufundisha" au "tumia maneno yangu ma mafundisho yangu kama mfano kwa utakachofundisha"
|
||
|
|
||
|
# Hilo jambo zuri
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kazi ya kutangaza injili kwa usahihi.
|
||
|
|
||
|
# Yatunze
|
||
|
|
||
|
Timotheo anatakiwa kuwa makini na watu wanaopinga kazi yake, wanajaribu kumkataza na kupinga nachokisema.
|
||
|
|
||
|
# Kupitia roho mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Fanya yote na yale ambayo roho mtakatifu amekwambia uyafanye"
|
||
|
|