forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
437 B
Markdown
21 lines
437 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu ya mwisho ya simlizi ya Mfalme Herode.
|
||
|
|
||
|
# Ghafla
|
||
|
|
||
|
"Wakati huo huo" au "Wakati watu walipokuwa wakimsifia Herode"
|
||
|
|
||
|
# akampiga,
|
||
|
|
||
|
"Herode aliharibiwa" au " kikasababisha Herode kuwa mgonjwa sana"
|
||
|
|
||
|
# hakumpa Mungu utukufu
|
||
|
|
||
|
Herode akawaruhusu watu wamwabudu yeye badala ya kuwaambia wamwabudu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# akaliwa na chango na akafa
|
||
|
|
||
|
"Chango" inaonyesha na wadudu ndani ya mwili, labda minyoo katika utumbo.
|
||
|
|