sw_tn_fork/rom/07/06.md

13 lines
206 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa unganishi:
Paulo anatukumbusha kwamba Mungu hatufanyi sisi kuwa watakatifu kwa njia ya sheria.
# sisi
kiwakilishi hiki cha jina humaanisha Paulo na wale walioamini.
# barua
"sheria ya Musa"