forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
990 B
Markdown
29 lines
990 B
Markdown
|
# Ibilisi anataka kuwatupa baadhi yenu gerezani
|
||
|
|
||
|
"Ibilisi atasababisha hivi punde wengine wawaweke baadhi yenu gerezani"
|
||
|
|
||
|
# Iweni waaminifu hadi kufa
|
||
|
|
||
|
"Kuweni waaminifu kwangu hata kama watawaua". Matumizi ya neno "hadi" haimanishi kuwa uache kuwa mwaminifu wakati wa kifo.
|
||
|
|
||
|
# taji
|
||
|
|
||
|
"taji la ushindi." Hili lilikua shada ambalo asili yake ilikua ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi ambayo yaliweka kwenye kichwa cha mwanariadha mshindi.
|
||
|
|
||
|
# taji la uzima
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1)"taji linaloonesha kuwa nimekupa uzima wa milele" au 2)"uzima wa kweli kama dhawabu kama taji la mshindi"
|
||
|
|
||
|
# Mwenye sikio asikie
|
||
|
|
||
|
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asiklize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"
|
||
|
|
||
|
# Yeye ashindaye
|
||
|
|
||
|
hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
|
||
|
|
||
|
# hatapata madhara ya mauti ya pili
|
||
|
|
||
|
"hatapitia kifo cha pili" au "hatakufa mara ya pili"
|
||
|
|