forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
455 B
Markdown
17 lines
455 B
Markdown
|
# Na uzidishe ... geuka tena na unifariji
|
||
|
|
||
|
"Nita unizidishie ... nataka ugeuka tena na kunifariji." Tafsiri zingine zinasoma, "Utanizidishia ... utageuka tena na kunifariji"
|
||
|
|
||
|
# geuka tena na unifariji
|
||
|
|
||
|
Hii inaeleza tendo moja katika misemo miwili. "nifariji tena"
|
||
|
|
||
|
# kwa uaminifu wako
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ninaweza kukutumaini"
|
||
|
|
||
|
# nitaimba sifa kwako kwa kinubi, Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"kwako, ambaye ni Mtakatifu wa Israeli, nitaimba sifa huku nikicheza kinubi"
|
||
|
|