sw_tn_fork/psa/071/019.md

21 lines
561 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Haki yako pia, Mungu, iko juu sana
Mwandishi wa zaburi anazungumzia vitu vizuri ambavyo Mungu amefanya kana kwamba viliwekwa pamoja kama jengo kubwa au mlima.
# ni nani kama wewe?
Hili ni swali balagha linaloweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna mtu kama wewe!"
# taabu saba
"taabu mbaya"
# fufua
imarisha au kufanya kuishi tena
# kutoka pande za chini ya dunia
"Pande za chini ya dunia" ni sitiari ya mahali ambapo watu huenda wanapokufa. Mwandishi wa zaburi hakuwa amekufa bado, lakini anazungumza kana kwamba alikuwa amekufa. "tunapokaribia kifo"