forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
729 B
Markdown
41 lines
729 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
||
|
|
||
|
# Mabawa... ya upendo
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia swali hii ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuelezea kwanini mbuni wanaenenda jinsi wanavyofanya.
|
||
|
|
||
|
# mbuni
|
||
|
|
||
|
huyu ni ndege mkubwa ambaye anaweza kukimbia haraka, lakini hawezi kupaa.
|
||
|
|
||
|
# kwa majivuno
|
||
|
|
||
|
"kwenda kwa furaha"
|
||
|
|
||
|
# mabawa
|
||
|
|
||
|
haya ni manyoya marefu juu ya mabawa ya ndege
|
||
|
|
||
|
# manyoya
|
||
|
|
||
|
ni manyoya madogo yaliyoenea juu y mwili wote wa ndege
|
||
|
|
||
|
# yana upendo
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezana 1) "uaminifu" 2) "ya kurungu" Jina hili lilimaanisha "mwaminifu mmoja" au mwenye kupenda, kwasababu kunguru huwajali sana watoto wake.
|
||
|
|
||
|
# katika nchi
|
||
|
|
||
|
juu ya ardhi
|
||
|
|
||
|
# kuyaharibu
|
||
|
|
||
|
Neno hili linarejelea mayai.
|
||
|
|
||
|
# kuyakanyaga
|
||
|
|
||
|
"kukanyaga juu yao"
|
||
|
|