forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
493 B
Markdown
17 lines
493 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza kwa kutumia mtindo wa usambamba
|
||
|
|
||
|
# nimejawa na maneno
|
||
|
|
||
|
"nina mengi sana ya kusema"
|
||
|
|
||
|
# roho ndani yangu inanisukuma
|
||
|
|
||
|
"lazima niseme sasa"
|
||
|
|
||
|
# kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
|
||
|
|
||
|
Wakati divai inapochacha, gesi hujikusanya katika chombo. Kama gesi hiyo yaitaondolewa, chombo kitapasuka . Elihu anamaanisha kwamba anayo mengi ya kusema na kama hatayasema anajisikia kama atapasuka.
|
||
|
|