forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
378 B
Markdown
9 lines
378 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha
|
||
|
|
||
|
Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Kwa pamoja zinatia mkazo kwamba mtu anaweza kuificha dhambi yake kwasababu anahofu juu kile ambacho watu wangesema.
|
||
|
|