forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
444 B
Markdown
17 lines
444 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Nabii Hosea anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Nani mwenye busara ili aelewe mambo haya? Nani anaelewa mambo haya ili awatambue?
|
||
|
|
||
|
Nabii anatumia maswali haya kusema kuwa watu wenye busara wataelewa na kusikiliza kile atakachokisema.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa njia za Bwana ni sawa, na wenye haki watatembea ndani yao
|
||
|
|
||
|
Amri za Bwana zinazungumzwa kama njia ya kupitia.
|
||
|
|
||
|
# wataanguka
|
||
|
|
||
|
Kutomtii Bwana kunazungumzwa kama kutendo cha kuanguka ukiwa unatembea.
|
||
|
|