forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
717 B
Markdown
29 lines
717 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Watu wanaoishi katika kivuli chake watarejea
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli tena wataishi kwa kulindwa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# watafufuliwa kama nafaka na maua kama mizabibu
|
||
|
|
||
|
Mafanikio ya Israeli yanazungumzwa kwa lugha ya kilimo.
|
||
|
|
||
|
# Utukufu wake utakuwa kama divai ya Lebanoni
|
||
|
|
||
|
Kama divai ya Lebanoni ilivyokuwa maarufu pia Israeli itakuwa maarufu.
|
||
|
|
||
|
# nifanye nini tena na sanamu?
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaonesha kuwa Mungu atawakataza Israeli kuabudu muingu.
|
||
|
|
||
|
# kama mberoshi majani yake ni ya kijani daima
|
||
|
|
||
|
Mberoshi ni mti ambao majani yake ni ya kijani mwaka mzima. Hii inawakilisha baraka za Bwana juu ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kwangu huja matunda yako
|
||
|
|
||
|
"matunda" inawakilisha kitu kizuri kinachotoka kwa Bwana.
|
||
|
|