forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
563 B
Markdown
17 lines
563 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana watu hupanda upepo na kuvuna kimbunga
|
||
|
|
||
|
Kupanda upepo ni kitendo cha kufanya jambo kwa njia zisizofaa. Kuvuna kimbunga ni kuteseka kutokana na matendo ya mtu mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Mbegu zilizosimama hazina vichwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "kichwa" ni sehemu ya mmea mbayo mbegu zinakuwepo. Mmea ambao hauna kichwa unakuwa hauna chochote cha kumpa mkulima. Matendo ya Waisraeli hayatawapa matokeo mazuri.
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa itakomaa, wageni watakula.
|
||
|
|
||
|
Ikiwa matendo yoyote ya Waisraeli yatasababisha matokeo mazuri basi adui wa Israeli watayachukua.
|
||
|
|