forked from WA-Catalog/sw_tn
53 lines
1.1 KiB
Markdown
53 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheole.
|
||
|
|
||
|
# Elamu yupo huko
|
||
|
|
||
|
Hapa "Elamu" linarejea kwa watu wa hiyo nchi. "Watu wa Elamu pia wapo huko katika Sheoli"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wake
|
||
|
|
||
|
watu wake wengi au jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# Makaburi yake yamemzunguka
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22.
|
||
|
|
||
|
# wote waliuawa
|
||
|
|
||
|
"Hapa maadui waliwaua wote"
|
||
|
|
||
|
# Wale walioanguka kwa upanga
|
||
|
|
||
|
"walio anguka kwa upanga" katika 32:22.
|
||
|
|
||
|
# waliokwenda chini wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
"ambao walikuwa hawajatahiriwa wakati waliposhuka chini"
|
||
|
|
||
|
# sehemu ya chini kabisa ya nchi
|
||
|
|
||
|
"sehemu za chini kabisa katika aridhi"
|
||
|
|
||
|
# aliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22.
|
||
|
|
||
|
# Wameweka vitu vya kitandani kwa ajili ya Elamu na watumishi wake
|
||
|
|
||
|
"Walimpatia Elamu vitanda na watumishi wake wote."
|
||
|
|
||
|
# katikati ya wachinjaji
|
||
|
|
||
|
"pamoja na watu wote waliokuwa wameuawa."
|
||
|
|
||
|
# Wote hawajatahiriwa
|
||
|
|
||
|
Wamisri waliwachukia watu ambao walikuwa wametahiriwa.
|
||
|
|
||
|
# Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa
|
||
|
|
||
|
"Maiti zilimpatia Elamu mahali kulala miongoni mwao wenyewe"
|
||
|
|