forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
509 B
Markdown
17 lines
509 B
Markdown
|
# Mfalme na atuambie
|
||
|
|
||
|
Watu wenye hekima walimweleza mfalme kwa nafsi ya tatu kama ishara ya heshima.
|
||
|
|
||
|
# mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili
|
||
|
|
||
|
Maamuzi ambayo hayatabadilika yanasemwa kama ni kitu ambacho ni imara. "mmeona kwamba sitabadili maamuzi yangu juu ya hili"
|
||
|
|
||
|
# kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
"kuna hukumu moja kwa ajili yenu"
|
||
|
|
||
|
# uongo na maneno ya kudanganya
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili kwa ukaribu yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo kwamba huu ni "uongo uliokusudia kudanganya."
|
||
|
|