forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
665 B
Markdown
29 lines
665 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Baada ya Waisraeli kutoka Misri, walikaa miaka 40 wakizunguka zunguka jangwani kabla Mungu hajawaongoza kuingia katika nchi aliyokuwa amewaahidi kuwapa.
|
||
|
|
||
|
# Huyu ni Musa ambaye walimkataa
|
||
|
|
||
|
Hii inarejesha nyuma matukio yaliyotunzwa
|
||
|
|
||
|
# Nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi ?
|
||
|
|
||
|
Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"!
|
||
|
|
||
|
# Mtawala na mkombozi
|
||
|
|
||
|
"Kutawala juu yao na kuwaweka huru kutoka kuwa watumwa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa mkono wa malaika
|
||
|
|
||
|
"Kwa nguvu ya malaika"
|
||
|
|
||
|
# Kipindi cha miaka arobaini
|
||
|
|
||
|
"kipindi cha miaka arobaini ambacho watu wa Israeli waliishi jangwani"
|
||
|
|
||
|
# Kutoka miongoni mwa ndugu zenu
|
||
|
|
||
|
"kutoka miongoni mwa watu wenu kuwa Nabii"
|
||
|
|