sw_tn_fork/1sa/27/08.md

21 lines
300 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# wakiteka nyara
Mara nyingi walivamia na kuchukua mali.
# Wagirizi
Kundi la watu waliokuwa wakiishi kati ya Filistia na Misri.
# uelekeo wa kwenda Shuri
"njiani ambapo watu wengi walisafiri kuelekea Shuri"
# Shuri
Ni mkoa uliokuwepo kaskazini mwa mpaka wa Misri.
# Akishi
Mfalme wa Gathi.