forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
490 B
Markdown
21 lines
490 B
Markdown
|
# Yeroboamu akaijenga Shekemu
|
||
|
|
||
|
"Wafanyakazi wa Yeroboamu wakaijenga Shekemu"
|
||
|
|
||
|
# akafikiri moyoni mwake
|
||
|
|
||
|
"mwenyewe akafikiri"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Daudi
|
||
|
|
||
|
"wafalme waliotokana na Daudi"
|
||
|
|
||
|
# Kama hawa watu wataenda
|
||
|
|
||
|
Neno "watu hawa" linamaanisha wale watu wa makabila kumi ya Waisraeli wa kaskazini.
|
||
|
|
||
|
# basi mioyo ya hawa watu itarudi tena kwa bwana wao, kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda ... na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vina maana moja ambavyo vimetumika pamoja kuonesha msisitizo.
|
||
|
|