forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
483 B
Markdown
17 lines
483 B
Markdown
|
# kuwa katika nyumba yake
|
||
|
|
||
|
kuridhika na kuwa na furaha, bila tamanio la kuhama wala kubadilika.
|
||
|
|
||
|
# nyumba jengwa na mierezi
|
||
|
|
||
|
Mbao za kutoka kwenye miti ya mierezi ili hesabiwa kuwa mbao bora ya ujenzi.
|
||
|
|
||
|
# fanya yalio moyoni mwako
|
||
|
|
||
|
Daudi anaelezwa afanye sawa na sehemu ya mwili yenye hisia. "fanya utakacho taka kufanya"
|
||
|
|
||
|
# Mungu yupo nawe
|
||
|
|
||
|
Kuwa katika makubaliano na Mungu ni kama kufanya kazi naye kwasababu Mungu atakusaida kufanikiwa. "Mungu akubaliana na unacho taka kufanya"
|
||
|
|