16 lines
502 B
Markdown
16 lines
502 B
Markdown
|
# Wewe ni nani, wewe unaye hukumu mtumishi ambaye ni mali ya mtu mwingine?
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swali kukemea wale wanao hukumu wengine. " wewe si Mungu, na hunaruhusa ya kuhukumu mojawapo wa watumishi wake"
|
||
|
|
||
|
# Wewe, wewe
|
||
|
|
||
|
U-moja
|
||
|
|
||
|
# Ni mbele ya bwana wake kuwa anasimama au kuanguka
|
||
|
|
||
|
"Ni bwana wake tu anaweza kuamua ikiwa atamkubali mtumishi au atamkataa"
|
||
|
|
||
|
# Lakini atamfanya asimame, kwa kuwa Bwana ana uwezo wa kumsimamisha.
|
||
|
|
||
|
"Lakini Bwana atamkubali kwa sababu anauwezo wa kumfanya mtumishi akubalike"
|