28 lines
645 B
Markdown
28 lines
645 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla
|
||
|
|
||
|
Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu
|
||
|
|
||
|
# kama wanyang'anyi walikuja usiku
|
||
|
|
||
|
"au kama wanyang'anyi walikuja wakati wa usiku"
|
||
|
|
||
|
# wezi
|
||
|
|
||
|
watu wanaiba vitu kwa kuwa na vurugu kwa watu wengine
|
||
|
|
||
|
# jinsi ungekatilwa mbali
|
||
|
|
||
|
Bwana anaongeza maneno haya katikati ya hukumu nyingine kuonyesha kwamba adhabu ya Edomu ni ya kushangaza. AT, ah, umeharibiwa kabisa.
|
||
|
|
||
|
# Wasingeweza kuiba vya kuwatosha?
|
||
|
|
||
|
"wangeweza kuiba vinavyowatosha wenyewe."
|
||
|
|
||
|
# Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje
|
||
|
|
||
|
"Hakika, adui wamemtafuta Esau; wameitafuta hazina yake iliyofichika."
|
||
|
|
||
|
# tafutwa
|
||
|
|
||
|
kutafuta vitu ili kuiba
|