12 lines
315 B
Markdown
12 lines
315 B
Markdown
|
# Nanyi mtakapoenda vitani ... wanaowakandamiza
|
||
|
|
||
|
"Waisraeli wanapokuwa vitani ... kwa wale wanaowakandamiza Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# ndipo mtakapotoa sauti ya ishara ya tarumbeta
|
||
|
|
||
|
"basi utawaamuru makuhani kupiga sauati ya tarumbeta "
|
||
|
|
||
|
# nitawaita na kuwakumbuka
|
||
|
|
||
|
Kirai cha " kuwaita" kinamanisha kuwakumbuka. "Nitawakumbuka"
|