24 lines
502 B
Markdown
24 lines
502 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Simulizi hii ilitokea kabla ya matukio ya mwanzoni.
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha mwanzo wa simulizi.
|
||
|
|
||
|
# neno la Bwana lilimjia Yeremia ... akasema
|
||
|
|
||
|
"Bwana akazungumza na Yeremia. Akisema"
|
||
|
|
||
|
# Ebedi Meleki Mkushi
|
||
|
|
||
|
Ebedi Meleki mtu wa nchi ya Kushi.
|
||
|
|
||
|
# Ninakaribia kutimiza maneno yangu juu ya mji huu sio kwa kuangamiza na sio kwa wema
|
||
|
|
||
|
"nitaleta maafa juu ya mji huu kama nilivyosema kuwa nitafanya"
|
||
|
|
||
|
# Na yote yatakuwa kweli mbele yako siku hiyo
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa utayaona yakitokea siku hiyo"
|