20 lines
375 B
Markdown
20 lines
375 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kusema.
|
||
|
|
||
|
# Moyo mmoja na njia moja ya kuniheshimu.
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwamba kutakuwa na umoja miongoni mwa watu wa Israeli na watamwabudu Yahwe pekee.
|
||
|
|
||
|
# Agano la milele.
|
||
|
|
||
|
"Makubaliano ya milele."
|
||
|
|
||
|
# Nisiache kufanya mema kwa ajili yao.
|
||
|
|
||
|
"Siku zote nitawafanyia mema."
|
||
|
|
||
|
# Ilikwamba wasiniache.
|
||
|
|
||
|
"Ili kwamba siku zote wanitii na kuniabudu."
|