20 lines
506 B
Markdown
20 lines
506 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Maneno "mtu" , "chochote mtu" "yeye" na " yeye mwenyewe" yanahusiana na washirika( waumini)
|
||
|
|
||
|
# kitabaki
|
||
|
|
||
|
"Salia" au "kubakia"
|
||
|
|
||
|
# Kama kazi ya mtu itateketea
|
||
|
|
||
|
"Kama moto utaharibu kazi ya mtu yeyote" au "Kama moto utahapoteza kazi ya mtu yeyote."
|
||
|
|
||
|
# Yeyote...yeye...mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Haya maneno yanaonyesha "mtu""mtu" au "yeye"
|
||
|
|
||
|
# Atapata hasara.Lakini yeye mwenyewe ataokolewa
|
||
|
|
||
|
"Atapoteza kazi ile na tuzo yoyote anaweza kupata kama kazi ile itastahimili katika moto, lakini Mungu atamwokoa."
|