8 lines
235 B
Markdown
8 lines
235 B
Markdown
|
# matendo mema na ukali wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha waamini wa Mataifa kwamba japokuwa Mungu amekuwa mwema sana kwao, hatasita kuwahukumu na kuwaadhibu.
|
||
|
|
||
|
# Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali
|
||
|
|
||
|
"Vinginevyo Mungu atakukatilia mbali"
|