28 lines
653 B
Markdown
28 lines
653 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anatukumbusha kuwa miili yetu itabadilishwa katika ukombozi wa miili
|
||
|
|
||
|
# Kwa
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza "Mimi nafikiri." Haimaanishi "kwasababu"
|
||
|
|
||
|
# Mimi nafikiri kwamba...haistahili kulinganishwa na
|
||
|
|
||
|
"Mimi sifikiri kwamba...yanastahili kulinganishwa na"
|
||
|
|
||
|
# itafunuliwa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atayafunua" au "Mungu atafanya yajulikane"
|
||
|
|
||
|
# viumbe vinatazamia kwa shauku
|
||
|
|
||
|
Kila kitu ambacho Mungu ameumba kimeelezwa kama mtu anayengoja kitu kwa shauku.
|
||
|
|
||
|
# kwa kufunuliwa kwa wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"kwa wakati ambao Mungu atawafunua watoto wake"
|
||
|
|
||
|
# wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa hii imaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi imetafsiriwa kama "watoto wa Mungu"
|