16 lines
419 B
Markdown
16 lines
419 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anatangaza faida walionazo Wayahudi kwa sababu Mungu aliwapa sheria zake.
|
||
|
|
||
|
# Kisha ni faida gani aliyonayo Myahudi? Na ni manufaa gani ya tohara?
|
||
|
|
||
|
"Kisha Wayahudi hawana kufaidika na ahadi ya Mungu, ingawa Mungu aliahidi wangeweza!"
|
||
|
|
||
|
# Ni kubwa
|
||
|
|
||
|
"Kuna faida nyingi"
|
||
|
|
||
|
# Kwanza kabisa
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwamba ama 1) "Kwanza katika utaratibu wa wakati" au 2) "Amina" (UDB) au 3) "Muhimu zaidi."
|