36 lines
745 B
Markdown
36 lines
745 B
Markdown
|
# mtu yeyote asiye najisi
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye anakubalika kwa Mungu kiroho ni yule ambaye anaonekana kuwa kimwili ni msafi
|
||
|
|
||
|
# kuishika Pasaka
|
||
|
|
||
|
Tazama 9:4
|
||
|
|
||
|
# huyo mtu lazima aondolewe
|
||
|
|
||
|
Neno "kuondolewa" linamaanisha kukatiliwa mbali.
|
||
|
|
||
|
# uliopangwa
|
||
|
|
||
|
ulioamriwa
|
||
|
|
||
|
# Huyo mtu lazima abebe dhambi yake
|
||
|
|
||
|
"Mtuhuyo lazima abebe adhabu ya dhambi yake"
|
||
|
|
||
|
# anayeishi kati yenu
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi cha "yenu" kinamaanisha watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# ataishika na kufuata amri zote
|
||
|
|
||
|
"huyo mgeni ataishika na kufuata yote ambayo BWANA ameamuru"
|
||
|
|
||
|
# ataishika na kufuata amri zote , na kufuata taratibu zake
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile, vimetumika kutia msisitzo wa kwamba huyo mgeni atazitii sheria zote na kuishika Pasaka.
|
||
|
|
||
|
# katika nchi
|
||
|
|
||
|
"katika nchi ya Israeli"
|