20 lines
697 B
Markdown
20 lines
697 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu amponya mtu siku ya Sabato katika Sinagogi na kuonyesha jinsi anavyojisikia walivyofanya Mafarisayo kuhusiana na sheria za Sabato. Mafarisayo na Maherode wanapanga kumua Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Baadhi ya watu
|
||
|
|
||
|
"Baadhi ya Mafarisayo." Badae, katika 3:5, hawa watu wanaonyeshwa kama Mafarisayo.
|
||
|
|
||
|
# mtu aliye na mkono uliopooza
|
||
|
|
||
|
"mtu aliye na mkono uliopooza"
|
||
|
|
||
|
# Baadhi ya watu walimtazama kuona kama atamponya
|
||
|
|
||
|
"Mafarisayo walimtazama Yesu kwa karibu sana kuona kama atamponya na mkono uliopooza"
|
||
|
|
||
|
# mshtaki
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo walitaka kumshtaki Yesu kwa kuvunja sheria kwa kufanya kazi siku ya Sabato, je amponye mtu. "kumshtaki yeye kwa kufanya kosa" au " kumshtaki yeye kwa kuvunja sheria"
|