12 lines
420 B
Markdown
12 lines
420 B
Markdown
|
# kama ilivyoelezwa kwenye maelekezo
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "kama alivyoelekeza Yhweh"
|
||
|
|
||
|
# naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi aliyotenda
|
||
|
|
||
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Naye kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi ile ambayo ametenda
|
||
|
|
||
|
# naye huyo mtu atakuwa amesamehewa
|
||
|
|
||
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe mtu huyo"
|