16 lines
274 B
Markdown
16 lines
274 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anawaambia maadui wa Babeli namna ya kuvamia.
|
||
|
|
||
|
# Kila anayepindisha upinde
|
||
|
|
||
|
Hawa ni askari wanaopindisha upinde na mishale ili kupigana.
|
||
|
|
||
|
# mpigeni
|
||
|
|
||
|
Hapa anazungumziwa Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Kuta zake zimeangushwa chini
|
||
|
|
||
|
"Mataifa yameangusha chini kuta zake"
|