28 lines
612 B
Markdown
28 lines
612 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anaendelea kusema ujumbe wake.
|
||
|
|
||
|
# atakuja
|
||
|
|
||
|
"Nebukadreza atakuja"
|
||
|
|
||
|
# walioandikiwa kufa watakufa
|
||
|
|
||
|
"watakufa wote ambao nimeamua wafe"
|
||
|
|
||
|
# walioandikiwa kwenda mateka watakwenda mateka
|
||
|
|
||
|
"Babeli watawachukua mateka wale wote nitakaoamua waende mateka"
|
||
|
|
||
|
# Na aliyeandikiwa upanga atakufa kwa upanga
|
||
|
|
||
|
"Watakufa wote vitani ambao nimeamua wafe vitani"
|
||
|
|
||
|
# Atasafisha nchi ya Misri kama ambavyo wachungaji wanavyosafisha nguo zao
|
||
|
|
||
|
"Atachukua kila kitu cha thamani toka Misri kama ambavyo mchungaji anavyotoa kwa makini wadudu kwenye nguo yake"
|
||
|
|
||
|
# Heliopolisi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji, "mji wa jua"
|