24 lines
577 B
Markdown
24 lines
577 B
Markdown
|
# Baruku akaandika katika kitabu toka kwenye maneno aliyosomewa na Yeremia, maneno yote aliyoyasema Bwana kwake
|
||
|
|
||
|
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
|
||
|
|
||
|
# Soma toka kwenye kitabu
|
||
|
|
||
|
"soma kwa nguvu toka kwenye kitabu"
|
||
|
|
||
|
# kama ninavyokusomea
|
||
|
|
||
|
"kutokana na ninayoyasema"
|
||
|
|
||
|
# lazima usome
|
||
|
|
||
|
"lazima usome kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# katika masikio ya watu wa nyumba yake
|
||
|
|
||
|
"Ili watu wa nyumba ya Bwana wasikie"
|
||
|
|
||
|
# kwenye masikio ya Yuda wote waliokuja toka kwenye miji yao
|
||
|
|
||
|
"ili watu wote wa Yuda waliokuja toka kwenye miji yao wasikie"
|