16 lines
377 B
Markdown
16 lines
377 B
Markdown
|
# Sentensi kiunganishi:
|
||
|
|
||
|
Mstari huu ni mwendelezo wa mistari iliyotangulia.
|
||
|
|
||
|
# Mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na gadhabu yangu tangu walipoujenga.
|
||
|
|
||
|
Maneno "hasira" na "gadhabu" kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ukuu wa hasira yake Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Umekuwa hivyo hata leo.
|
||
|
|
||
|
"Wanazidi kunifanya nikasirike hata sasa."
|
||
|
|
||
|
# Mbele ya uso wangu.
|
||
|
|
||
|
"Kutoka kwenye uwepo wangu."
|