56 lines
948 B
Markdown
56 lines
948 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA na Yeremia wanaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi
|
||
|
|
||
|
"Natamani kama ningetengeneza machozi zaidi!"
|
||
|
|
||
|
# usiku na mchana
|
||
|
|
||
|
"muda wote."
|
||
|
|
||
|
# binti wa watu wangu
|
||
|
|
||
|
Tazama 4:11
|
||
|
|
||
|
# ambao wameuawa
|
||
|
|
||
|
"ambao adui amewaua."
|
||
|
|
||
|
# Kama mtu angenipatia
|
||
|
|
||
|
"Natamani kama mtu angnipatia"
|
||
|
|
||
|
# mahali pa wasafari nyikani nikae
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha jengo la watu wanaosafairi nyikani, amabalo wanaweza kutulia na kulala wakati wa Usiku.
|
||
|
|
||
|
# kuwatelekeza watu wangu
|
||
|
|
||
|
"kuwaacha watu wangu"
|
||
|
|
||
|
# kundi la webye hiana
|
||
|
|
||
|
"kundi la watu wanaoweza kusaliti watu
|
||
|
|
||
|
# asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|
||
|
|
||
|
# Huupinda ulmi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo
|
||
|
|
||
|
Kuongea uongo hufanywa na ndimi za waovu.
|
||
|
|
||
|
# lakini si kwa uaminifu wao
|
||
|
|
||
|
"si waaminifu kwa BWANA."
|
||
|
|
||
|
# si kwa uaminifu wao
|
||
|
|
||
|
"hawana nguvu katika kweli."
|
||
|
|
||
|
# wanatoka uovu mmoja hadi mwingine
|
||
|
|
||
|
"wanaaendelea kufanya mambo maovu."
|