32 lines
982 B
Markdown
32 lines
982 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Walitoa sadaka
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Israeli walitoa sadaka"
|
||
|
|
||
|
# miungu ambayo imejitokeza hivi karibuni
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana Waisraeli hivi karibuni walijua kuhusu miungu hawa.
|
||
|
|
||
|
# baba zako
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# Umetelekeza ... baba yako ... ukasahau ... aliyekuzaa
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# Umetelekeza Mwamba
|
||
|
|
||
|
Hapa Yahwe anaitwa mwamba kwa sababu ana nguvu na analinda. "Umeacha matunzo ya kilinzi ya Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# Mwamba
|
||
|
|
||
|
Hii ni jina stahiki ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kuwalinda watu wake.
|
||
|
|
||
|
# ambao ulikuwa baba yako ... aliyekuzaa
|
||
|
|
||
|
Hii inamlinganisha Yahwe na baba na mama. Hii ina maana ya kwamba Mungu aliwasababisha waishi kuwa taifa. "aliyekuwa baba yako ... aliyekupa uhai kwako"
|