24 lines
606 B
Markdown
24 lines
606 B
Markdown
|
# kwa chochote utamanicho
|
||
|
|
||
|
"kwa chochote unataka"
|
||
|
|
||
|
# mbele ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
"kwenye uwepo wa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# Mlawi aliye ndani ya malango yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "lango" uwakilisha mji wote.
|
||
|
|
||
|
# usimsahau yeye
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa kwa kauli chanya. "hakikisha unatoa moja ya kumi yako kwa Mlawi"
|
||
|
|
||
|
# kwa kawa hana sehemu wala urithi pamoja nawe
|
||
|
|
||
|
Kabila la Lawi halikupokea sehemu ya ardhi kama urithi. Mgao wao wa urithi ulikuwa heshima ya kumtumikia Yahwe kama makuhani wake. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwafanywa wazi.
|
||
|
|
||
|
# hakuna sehemu wala urithi pamoja nawe
|
||
|
|
||
|
Mungu hakutoa ardhi kwa Walawi husemwa kama hakuwapa urithi.
|