forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
752 B
Markdown
32 lines
752 B
Markdown
|
# Taarifa ya kijumla:
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea moja kwa moja na Simoni.
|
||
|
|
||
|
# Simon, Simon
|
||
|
|
||
|
Yesu alilisema jina lake mara mbili kuonyesha kwamba kile ambacho alikuwa akiseme kwake kilikuwa cha muhimu sana.
|
||
|
|
||
|
# awapate, ili awapepete
|
||
|
|
||
|
Neno "awa" linaonyesha mitume wote.
|
||
|
|
||
|
# awapepete kama ngano
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba Shetani alitaka kuwajaribu mitume ili kupata makosa.
|
||
|
|
||
|
# Lakini nimekuombea
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha amemuombea kipekee kabisa SImoni.
|
||
|
|
||
|
# kwamba imani yako isishindwe
|
||
|
|
||
|
"kwamba utaendelea kuwa na imani" au "utaendelea kunitegemea mimi"
|
||
|
|
||
|
# Baada ya kuwa umerudi tena
|
||
|
|
||
|
"Baada ya kuanza kunifuata tena" au "Baada ya kuanza kunitumikia mimi tena"
|
||
|
|
||
|
# ndugu zako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wanafunzi wengine wa Yesu. Tafsiri mbadala: "Waamini wenzako" au "mitume wengine."
|