forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
617 B
Markdown
20 lines
617 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Simoni ametajwa kwenye simlizi hii ya Filipo. Mistari ya 9-11ni maelezo yanayomhusu Simoni ya kuwa alikuwa nani miongoni mwa wasamaria.
|
||
|
|
||
|
# Lakini palikuwana mtu mmoja ...jina lake Simoni
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi. Lugha yako pengine inaweza kutumia maneno tofauti kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Mji
|
||
|
|
||
|
"Mji wa Samaria"
|
||
|
|
||
|
# Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza chumvi. "Wasamaria wengi katika mji wa Samaria.:
|
||
|
|
||
|
# Huyu mtu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni Kuu.
|
||
|
|
||
|
Watu walikuwa wanasema kwamba Simoni ni nguvu ya Mungu inayojulikana Nguvu Kuu.
|