forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
442 B
Markdown
20 lines
442 B
Markdown
|
# kiapo cha Mungu cha kumlinda yeye
|
||
|
|
||
|
"kiapo ulichoapa mbele za Mungu kumlinda"
|
||
|
|
||
|
# Usiharakishe kuondoka mbele ya uwepo wake
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) usiwe mwepesi kuondoka kimwili katika uwepo wake au 2) kubaki mwaminifu kwa Mfalme, usimuache kwa haraka kwa ajili ya mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Neno la mfalme hutawala
|
||
|
|
||
|
"Asemacho mfalme ni sheria"
|
||
|
|
||
|
# ni nani atakaye mwambia
|
||
|
|
||
|
"hakuna awazaye kumwambia"
|
||
|
|
||
|
# Unafanya nini?
|
||
|
|
||
|
"Haupaswi kufanya unachofanya."
|