1 line
214 B
Plaintext

\v 16 Bakamupatia Yesu moja: «Yesu anabakauliza iyi sula na mandiko ni ya nani?» bakamujibu : «Ni ya Cezari». \v 17 Yesu akusema : «bumupatie Cezari bitu biake na bumupe Mungu biake.» Bakashongola mbele yake.