1 line
387 B
Plaintext
1 line
387 B
Plaintext
\v 11 Ju ya ile, tuna waombea kila siku kusudi siku Mungu wetu awahesabu kuwa munastahili (munaenea) katika muito wake. tunaomba atimije na nguvu yake mahitaji yenu ya kufanya matendo majiri na kaji jote ja imani. \v 12 Tunaomba hivi kusudi, kwa ajili yenu ( kua juu yenu), jina la Bwana Yesu-Kristo lisifiwe, na nyie musifiwe ndani yake kwa mema ya Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo. |